SIMBA HAWA HAPA WAKIENDELEA KUJIANDAA KWA AJILI YA AZAM FC

 



Wachezaji wa kIkosi cha Simba wanaonekana wako tayari kwa ajili ya mechi ya keshokutwa Jumamosi dhidi ya Azam FC.

Mechi hiyo ni mtihani mkubwa kwa Simba kwa kuwa lazima washinde ili waendelee kubaki kileleni.


Kocha Joseph Omog ameendelea kuwaongoza vijana wake kufanya mazoezi kwenye Uwanja wa Boko Veterani nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kujiandaa na mchezo huo.




Share on Google Plus

About omary omary

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment