Mamelodi Sundowns yaanza vyema Fainali ya klabu bingwa afrika,Yaichapa kichapo kikali Zamaleki
Mamelodi Sundowns ya Afrika kusini imeanza vyema Mechi yake ya kwanza klabu bingwa Afrika ikiwa nyumbani mara baada ya kuwafunga Zamalek tokea Misri kwa bao Tatu kwa bila, Magoli ya wenyeji yakifungwa na Laffor dakika ya 31, Lengerman 40 na Percy Tau dakika ya 50.
Na hivi ndivyo takwimu mbali mbali katika mechi hiyo.
0 comments:
Post a Comment