Kuelekea Yanga vs Azam leo 16.10.2016 Azam Kuwakosa Nyota wake wawili

Tokeo la picha la jaffari iddi maganga
Leo Ni Derby nyingine ambayo itashuhudiwa jijijini Dar Es Salaam kati ya Yanga na Azam katika uwanja wa Uhuru Jijijini Dar Es Salaam.

Kupitia kwa msemaji wa Azam Fc Jaffari Iddi Maganga, Azam Fc wanatarajiwa kuwakosa wachezaji wake wawili muhimu Ambao ni majeruhi, Azam itamkosa Pascal Wawa na mchezaji Shomari Kapombe.
Share on Google Plus

About omary omary

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment