REAL MADRID IMEITWANGA REAL BETIS MABAO 6-1, RONALDO, ISCO, BENZEMA WAKIFANYA YAO




Real Madrid imeitwanga Real  Betis kwa mabao 6-1 katika La Liga, mechi iliyoisha hivi punde.

Madrid walikuwa ugenini lakini walitawala kwa kiasi kikubwa huku nyota wake wengi wakifanikiwa kufunga.


Katika mechi hiyo mabao ya Real Madrid yamefungwa na Raphael Varane, Iscoaliyetupia mawili, Marcelo, Karim Benzema na Cristiano Ronaldo.


Real Betis: Adan, Piccini, Mandi, Pezzella, Durmisi, Petros, Jonas Martin (Ceballos 67), Brasanac (Zozulya 46), Joaquin, Alegria (Cejudo 46), Castro
Subs not used: Gimenez, Donk, Musonda, Sanabria
Goals: Cejudo 55
Booked: Pezzella, Zozulya, Petros


Real Madrid: Navas, Carvajal, Pepe, Varane, Marcelo, Kroos, Kovacic (Lucas 65), Isco, Bale (Asensio 79), Benzema (Morata 75), Ronaldo
Subs not used: Casilla, Danilo, Diaz, Nacho
Goals: Varane 4; Benzema 31; Marcelo 39; Isco 45, 62, Ronaldo 79

Booked: Isco






Share on Google Plus

About omary omary

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment