Wababe watatu wa Ligi Kuu ya Hispania ( La Liga) Wafunga jumla ya mabao 17 mechi za Jana.

Tokeo la picha la atletico madrid and barcelona
Jana unaweza Ukasema ilikuwa siku nzuri ila mbaya pia kwa Wengine katika ligi kuu ya Hispania La Liga, mara baada ya Kushuhudia Barcelona, Atletico Madrid na Real Madrid wakivuna magoli kibao katika mechi za jana Barcelona walishinda Bao 4 kwa 0 dhidi ya Deportivo la Coruna.

Real Madrid wakashinda bado 6 kwa 1 dhidi ya Real Betis, Nao Atletico Madrid wakazidi kutia fora kwa ushindi wa bao 7 kwa 1, Ukijumlisha jumla ya mabao ya wababe hao 3 wa la liga ni mabao 17
Share on Google Plus

About omary omary

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment